Kero ya mtandao TRA unapolipa bili. Mamlaka ziingilie kati

Mavindozii

JF-Expert Member
Oct 20, 2012
2,111
2,759
Hello

Serikali ya Tanzania inasikitisha sana. Wakati unaenda kulipia bili za TRA wanakuambia mtandao hakuna au haujarudi, unashinda pale kwenye office yao mchana kutwa. Kesho unarudi wanakuambia mtandao uko chini yaani wanakera sana. Halafu wanakuambia kalipe Kodi ukiwapelekea hela wanazungusha viono na kuperuzi kwenye simu zao.

Kwanini mtandao wenu ovyo kabisa WAKATI Serikali ndio inawagawia akina CRDB, NMB, AMANA BANK?

Kuna nini hapo naomba mamlaka zikaliangalie na hili . Mtu hawezi kukuletea pesa umwambie sina mfuko wa kuweka. Hasa hizi office zilizoko Arusha mjini bure kabisa. Tigo , Airtell, Vodacom wanawashinda .

Msibweteke kukaa kwenye viti vya kuzunguka na kuacha kuwahudumia wananchi wanaokufanya uende choo 3 times a day .

Tafuteni plan b ya kupata faster internet .
 
KamA unaenda kulipia kwa wakala:huwa hawapendi transaction zenye control number wanasema hazina commission. So it's not about the network,hyo ni excuse tuu.
NB:Kama nimelielewa swali lako vzuri.
 
KamA unaenda kulipia kwa wakala:huwa hawapendi transaction zenye control number wanasema hazina commission. So it's not about the network,hyo ni excuse tuu.
NB:Kama nimelielewa swali lako vzuri.
Imagine mteja afanye malipo ya laki 8 wakala alipwe sh 100 ingekua ww unaweza? Wanashindwa kulipa maskah madogo waongeze.
 
Imagine mteja afanye malipo ya laki 8 wakala alipwe sh 100 ingekua ww unaweza? Wanashindwa kulipa maskah madogo waongeze.
Siwezi kabisa,Benki ndo wawafikirie maana wanafanya kazi kwa niaba yao.
Laa,ijulikane kabisa wa control number wote wajazane huko benki zao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom