A
Anonymous
Guest
Serikali imejenga barabara ya mtaa wa Songea kwa kiwango cha lami ila serikali hiyo hiyo imeruhusu watu wapaki pembeni ya hizo barabara na zitumike kama garage hii hufanya barabara ya kuharibika na pia imekuwa kero wananchi kufika kwenye majumba yao na kupishana ni tabu vile magari yamepaki pembeni