shonkoso
JF-Expert Member
- Mar 13, 2015
- 687
- 1,455
Habari za kuitana oah teacher teacher au mwalimu, wakati watu tupo na mishe zetu siyo sawa kabisa, mimi nilishasema, ruksa kuniita teacher sijui MWALIMU KAZINI TU.
Mtu upo na mizinguko yako town unasikia limtu tichaaaa, wewe hunijui jina kama unaona jina langu gumu basi niite hata wewe.
Au Mara nyingine mpo kwenye kamati za harusi na lijitu kwa makusudi utasikia mwl, wewe mimi siyo mwl wako nikome, yaani unanitangaza kila mtu ajue mimi ni cheap labour wa serikali.
Tutunziane heshima tafadhali.
Mtu upo na mizinguko yako town unasikia limtu tichaaaa, wewe hunijui jina kama unaona jina langu gumu basi niite hata wewe.
Au Mara nyingine mpo kwenye kamati za harusi na lijitu kwa makusudi utasikia mwl, wewe mimi siyo mwl wako nikome, yaani unanitangaza kila mtu ajue mimi ni cheap labour wa serikali.
Tutunziane heshima tafadhali.