Yeye anakuona kama kaka yake .Kama miezi mitatu imepita nilikutana na binti tukiwa kwenye jumuiya. Yeye ndo alinifata akaniomba namba, sikuwahi kumfahamu Ila yeye kumbe ananifahamu. Lengo la kuniomba namba ilikuwa nimsaidie kusolve kiissue flani maeneo ya ofisin kwangu.
Huyu binti yuko form four kwasasa. Baada ya kusolve tatizo lake, kuna siku aliniomba kuniona nikamkubalia akaja tukaongea, lengo lilikuwa kunishukuru kwa kumsaidia na ikumbukwe sikujua kama bado anasoma, ndio akaniambia yuko form four Ila umri wake ni 19, amechelewa kumaliza kutokana na matatizo ya kifamilia hapo nyuma.
KERO: Toka nikubali kuonana nae siku ile imekuwa kero, simu kila jioni nahisi akitoka shule, na kila weekend anataka kuonana na Mimi. Ananiita kaka. Nilimwambia mdogo wangu Mimi ni MTU mzima sasa ingawa sijaoa, so na jinsi unavokaa karibu na Mimi sio vizuri nitashawishika nikutafne iwe soo kwangu na kwako. Anasema Hamna tatizo yeye anajiamini kwasababu Mimi ni kama kaka yake.
Kwa akili yangu ya kuzaliwa inaonekana huyu Dogo analake jambo sio bure, ila tatizo ni mwanafunzi ambaye nahisi akiendelea hivi anaweza kufeli vibaya.
Nimeongea nae sana, ila inaonekana hasikii. Je nikimzaba vibao kama mdogo wangu nitakosea?
Kama miezi mitatu imepita nilikutana na binti tukiwa kwenye jumuiya. Yeye ndo alinifata akaniomba namba, sikuwahi kumfahamu Ila yeye kumbe ananifahamu. Lengo la kuniomba namba ilikuwa nimsaidie kusolve kiissue flani maeneo ya ofisin kwangu.
Huyu binti yuko form four kwasasa. Baada ya kusolve tatizo lake, kuna siku aliniomba kuniona nikamkubalia akaja tukaongea, lengo lilikuwa kunishukuru kwa kumsaidia na ikumbukwe sikujua kama bado anasoma, ndio akaniambia yuko form four Ila umri wake ni 19, amechelewa kumaliza kutokana na matatizo ya kifamilia hapo nyuma.
KERO: Toka nikubali kuonana nae siku ile imekuwa kero, simu kila jioni nahisi akitoka shule, na kila weekend anataka kuonana na Mimi. Ananiita kaka. Nilimwambia mdogo wangu Mimi ni MTU mzima sasa ingawa sijaoa, so na jinsi unavokaa karibu na Mimi sio vizuri nitashawishika nikutafne iwe soo kwangu na kwako. Anasema Hamna tatizo yeye anajiamini kwasababu Mimi ni kama kaka yake.
Kwa akili yangu ya kuzaliwa inaonekana huyu Dogo analake jambo sio bure, ila tatizo ni mwanafunzi ambaye nahisi akiendelea hivi anaweza kufeli vibaya.
Nimeongea nae sana, ila inaonekana hasikii. Je nikimzaba vibao kama mdogo wangu nitakosea?
Thanks!Mkuu kimbia mbio. Huyo binti atakusababishia msala. Mpotezee haraka...usimruhusu tena akuzoee. Tell her you are busy na kwasababu wewe ni mfanyakazi ataelewa. Am smelling a rat...
Okangalia watoto wa masolex kaa nao mbali miaka 30 we mpotezee tu fanya kama hujui kinaendelea
Hapana Mkuu sijafanya hivyo.kiukweli mkuu umeshatafuna huo mfupa,hapa unataka ututamanishe kwa kutupima akili zetu ili ujijue ulipo kama ulikosea ama lah!
Utakua una matatizo ya akiliKama miezi mitatu imepita nilikutana na binti tukiwa kwenye jumuiya. Yeye ndo alinifata akaniomba namba, sikuwahi kumfahamu Ila yeye kumbe ananifahamu. Lengo la kuniomba namba ilikuwa nimsaidie kusolve kiissue flani maeneo ya ofisin kwangu.
Huyu binti yuko form four kwasasa. Baada ya kusolve tatizo lake, kuna siku aliniomba kuniona nikamkubalia akaja tukaongea, lengo lilikuwa kunishukuru kwa kumsaidia na ikumbukwe sikujua kama bado anasoma, ndio akaniambia yuko form four Ila umri wake ni 19, amechelewa kumaliza kutokana na matatizo ya kifamilia hapo nyuma.
KERO: Toka nikubali kuonana nae siku ile imekuwa kero, simu kila jioni nahisi akitoka shule, na kila weekend anataka kuonana na Mimi. Ananiita kaka. Nilimwambia mdogo wangu Mimi ni MTU mzima sasa ingawa sijaoa, so na jinsi unavokaa karibu na Mimi sio vizuri nitashawishika nikutafne iwe soo kwangu na kwako. Anasema Hamna tatizo yeye anajiamini kwasababu Mimi ni kama kaka yake.
Kwa akili yangu ya kuzaliwa inaonekana huyu Dogo analake jambo sio bure, ila tatizo ni mwanafunzi ambaye nahisi akiendelea hivi anaweza kufeli vibaya.
Nimeongea nae sana, ila inaonekana hasikii. Je nikimzaba vibao kama mdogo wangu nitakosea?
MTOTO? we Gojaga mwongo sana. Mmama miaka 20 kasoro moja unamwita mtoto? embu kua serious mkuu. embu kula hyo papuchi imeshakua zamani kha! au kama vp nipe namba yake afu mwambie kaka yake mwingine atamtafuta halafu ntaleta mrejesho baada ya siku tatu. nakuahidi hatakusumbua tena.!Mkuu huyu mtoto anatakiwa asome kwa faida ya maisha yake na famiia yake hapo badae.
Mkuu fuata ushauri huu ndio sahihi kwako.Kumpiga_si_suluhIsho.
Mwanamke_hapigwi,haijalishi_amefanya_kosa_gani.
Unachoweza_kufanya_ni_kutopokea_simu_wala_kutokujibu_messege_zake.
Itafikia_wakati_atachoka,Na_kitu_kizuri_atachoka_mapema_kwa_maana_umeshamkanya....Kwa_kutokujibu_text_na_calls_zake_atajua_tu_kuwa_hupendi_akusumbue,kuliko_kumpiga_inaweza_kukuungiza_matatizoni.