Barabara ya Morogoro toka Kimara kuja mjini imekuwa ni kero kwa watumiaji, kwa muda mrefu sasa. Ujenzi unaoendelea kwenye barabara hiyo umesababisha usumbufu mkubwa sana kiasi cha kuwafanya watu watumie masaa matatu hadi manne kufika posta au kariakoo.
Naomba viongozi wanao husika waliangalie hili, ebu wa waangalie hawa jamaa wanaojenga hii barabara, mfano pale kimara wamebana baraba ya mchepuko na kusababisha magari kupita kwa shida bila sababu za msingi wala hawana mpango wa kutengeneza vizuri Diversion ili kuhakikisha magari yanapila kwa urahisi.
Naomba viongozi wanao husika waliangalie hili, ebu wa waangalie hawa jamaa wanaojenga hii barabara, mfano pale kimara wamebana baraba ya mchepuko na kusababisha magari kupita kwa shida bila sababu za msingi wala hawana mpango wa kutengeneza vizuri Diversion ili kuhakikisha magari yanapila kwa urahisi.