Sky Eclat JF-Expert Member Oct 17, 2012 57,595 215,280 Oct 7, 2018 #1 Majirani huyu anaweza kamata hata kuku licha ya mwizi?
M MwendaOmo JF-Expert Member Dec 16, 2013 774 723 Oct 7, 2018 #3 Sky Eclat said: View attachment 889862 Majirani huyu anaweza kamata hata kuku licha ya mwizi? Click to expand... Hahaha..huyo si polisi bali ni chifu
Sky Eclat said: View attachment 889862 Majirani huyu anaweza kamata hata kuku licha ya mwizi? Click to expand... Hahaha..huyo si polisi bali ni chifu
M Makwasa JF-Expert Member Aug 28, 2018 301 182 Oct 7, 2018 #4 Geza Ulole said: Mvivu wa kwenda choo huyu! Click to expand... Hana choo cha kwenda mkuu anatembea na Mzigo yaani momo kwa momo
Geza Ulole said: Mvivu wa kwenda choo huyu! Click to expand... Hana choo cha kwenda mkuu anatembea na Mzigo yaani momo kwa momo
Baba lake Senior Member Aug 11, 2018 170 214 Oct 7, 2018 #5 Makwasa said: Hana choo cha kwenda mkuu anatembea na Mzigo yaani momo kwa momo Click to expand... Umenikumbusha mabasi ya Scandinavian, ilikuwa mambo ya haja momo kwa momo. ... ha haahaa ahaa
Makwasa said: Hana choo cha kwenda mkuu anatembea na Mzigo yaani momo kwa momo Click to expand... Umenikumbusha mabasi ya Scandinavian, ilikuwa mambo ya haja momo kwa momo. ... ha haahaa ahaa
MK254 JF-Expert Member May 11, 2013 31,674 48,448 Oct 7, 2018 #7 Hehehe! Hiyo sio sare ya polisi, atakua chifu wa kata.
Lwiva JF-Expert Member Apr 17, 2015 12,497 17,574 Oct 8, 2018 #8 Janerose mzalendo said: Ni nini kinaendelea? Si wabongo walisema wakenya si wanene kisa hakuna chakula Kenya? Click to expand... Huyo ni mkenya fisadi ndiyo maana ujui Kenya inawenyewe siyo mtu kama wewe ,arafu kwanini umekuja na id Mpya ile uliyo post chupa ya pombe na mkono wako umekomaa kama mchimba mitaro umeikimbia
Janerose mzalendo said: Ni nini kinaendelea? Si wabongo walisema wakenya si wanene kisa hakuna chakula Kenya? Click to expand... Huyo ni mkenya fisadi ndiyo maana ujui Kenya inawenyewe siyo mtu kama wewe ,arafu kwanini umekuja na id Mpya ile uliyo post chupa ya pombe na mkono wako umekomaa kama mchimba mitaro umeikimbia
Tony254 JF-Expert Member May 11, 2017 16,017 16,427 Oct 8, 2018 #10 Sky Eclat said: View attachment 889862 Majirani huyu anaweza kamata hata kuku licha ya mwizi? Click to expand... Hahaha. Duh kuna mambo humu
Sky Eclat said: View attachment 889862 Majirani huyu anaweza kamata hata kuku licha ya mwizi? Click to expand... Hahaha. Duh kuna mambo humu