Kenyan man in Texas jailed for life for raping 74 years old patient

beth

JF-Expert Member
Aug 19, 2012
3,877
6,326
Raia wa Kenya, Anthony Mamboleo Nyakeo amehukumiwa kifungo hicho baada ya kupatikana na hatia ya kumdhalilisha kingono Mwanamke mgonjwa wa miaka 74

Nyakeo, aliyekuwa anafanya kazi kama Muuguzi Msaidizi katika Kituo cha Afya cha Woodrige kilichopo Grapevine anaelezwa kufanya kosa hilo mnamo Januari 2018

Mahakama ilielezwa Mtuhumiwa alifanya kitendo hicho kwa mgonjwa (Marehemu kwa sasa) aliyekuwa akiumwa ugonjwa wa kusahau (Alzheimer) huku akijua hawezi kujitetea

Baada ya kitendo hicho, Muuguzi anayemuhudumia mgonjwa alikuta damu kwenye nguo ya ndani na vipimo vilibaini uwepo wa michubuko ukeni inayotokana mara nyingi na kuingiliwa kwa nguvu

Mtuhumiwa huyo aliyebainika baada ya mgonjwa kufanyiwa kipimo vya vinasaba (DNA) alikana mashtaka kwa kusema vinasaba vyake vilipandikizwa kwenye mwili huo kutoka kwenye kondom aliyotumia

Hukumu hiyo inajiri ikiwa ni miezi kadhaa imepita tangu raia mwingine wa Kenya ahukumiwe huko Texas kwa kupatikana na hatia ya kuua Wanawake 11

1.jpg
******

A Kenyan man in Texas has been sentenced to life in prison for sexually assaulting an elderly patient, the Dallas News said.

This comes just months after another Kenyan man in Texas was charged with killing 11 elderly women.

On Thursday, Anthony Mamboleo Nyakeo was found guilty of raping a 74-year-old woman.

“After the assault, nurses caring for the patient found blood in her underwear. An exam found evidence of vaginal tearing consistent with sexual abuse, and staff recovered DNA during a sexual assault exam that was eventually used to tie Nyakeo to the assault,” the district attorney’s office told Dallas News.

Nyakeo, who worked as a nursing assistant at the Woodridge Health and Rehabilitation Center in Grapevine, is said to have committed the act in January 2018.

The ailing victim died later that year; she had been suffering from Alzheimer’s disease.

During the trial, the court was told that Nyakeo committed the hideous act despite knowing that the woman could not consent to sex or resist his advances because of her mental condition.

“She could not speak, feed herself or use the bathroom on her own as she wore a diaper and relied on staff,” Jordan Rolfe, the lead prosecutor told the court.

In his defence, Nyakeo denied molesting the woman, claiming that someone instead took his DNA from a used condom and planted it on her body.

“I just gave her a shower and took her to the dining area, ” he said.

His colleague who testified against him said that after she saw the condition the woman was, she immediately suspected a sexual assault.

“It is not something you see happening every day, especially to an elderly woman in that age, at least not to my knowledge,” he said.

Prosecutors also wrote in court documents that Nyakeo had also sexually harassed his coworkers and that he attempted to leave Texas during the investigation.

“He told his friends and former coworkers to lie on his behalf during the trial, ” they were quoted in court documents.

In the closing arguments, prosecutor Jordan Rolfe told the jury that Nyakeo deserved to be in prison for doing the unthinkable.

“We are an ageing community and we each deserve the peace of mind of knowing we will be treated with dignity when such time comes,” he said.

“The defendant violated that right, and the jury demonstrated with their sentence this kind of abuse against the vulnerable will not be tolerated here,” he added.

Nyakeo was convicted of two counts of aggravated sexual assault of an elderly or disabled person.

According to the Tarrant County District Attorney’s office, all the men working at the institution were asked to give their DNA samples.

Nyakeo’s is the only sample that matched the one recovered from the elderly woman.
 
Back
Top Bottom