Wana JF
Nlikua najaribu kufanya mahesabu hapa, ya jumla ya matokea yaliyokwisha tangazwa na kumpa ushindi Uhuru Kenyatta kama ndie raisi mteuliwa, but kile nikijaribu kukotoa, naona haya mahesabu yanazid upande wa pili.
Kwa hiyo naomba jibu kama jinsi title inavyouliza .
Nime attach calculator na matokeo kama jinsi yanavyooneka google hapa chini
( Remember source ya matokeo yaliyoko google, ni IEBC wenyewe
Kutokana na matokea haya, ukikokotoa inakuja hivi
54.3% + 44.7% + 0.3% + 0.3% + 0.2% + 0.1% + 0.1% + 0.1% = 100.1%
Nawasilisha.
Nlikua najaribu kufanya mahesabu hapa, ya jumla ya matokea yaliyokwisha tangazwa na kumpa ushindi Uhuru Kenyatta kama ndie raisi mteuliwa, but kile nikijaribu kukotoa, naona haya mahesabu yanazid upande wa pili.
Kwa hiyo naomba jibu kama jinsi title inavyouliza .
Nime attach calculator na matokeo kama jinsi yanavyooneka google hapa chini
( Remember source ya matokeo yaliyoko google, ni IEBC wenyewe
Kutokana na matokea haya, ukikokotoa inakuja hivi
54.3% + 44.7% + 0.3% + 0.3% + 0.2% + 0.1% + 0.1% + 0.1% = 100.1%
Nawasilisha.