Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
Kwa mujibu wa Kamanda wa eneo la Athi River kilikokutwa kiwanda hicho, OCPD Samuel Mkuusi amesema wanawashikiliwa raia hao kwa mahojiano
Kiwanda bubu hicho kilikuwa kwenye nyumba za kupanga zinazojulikana kama Green Park
Uchunguzi ukikamilika Wachina hao watafikishwa Mahakamani kujibu tuhuma zinazowakabili
====
According to area OCPD Samuel Mkuusi, the two were arrested in a house at Green Park estate in Athi River.
They are currently being held at Athi River police station awaiting to be arraigned in court.