Mme Mwenza
JF-Expert Member
- Feb 6, 2025
- 1,909
- 2,449
Wana jamvi Habari zenu.!
Hivi ndugu zetu wa kenya wanamatatzo gani?
Ukiachana na yule jamaa aliejiita mungu (YEHOVA WANYONYI) wa kenya magharibi alifariki 2021.
sasa tena hukohuko kenya magharibi, akaunti ya kakamega, kitongoji cha chibuli.
mkazi mmoja akitambulika kwa jina la Afred Ndeta kajitangaza yey ni mungu na ndo baba wa yesu kristo.
anadai alishushiwa ufunuo huo 1987.
najiulza ndugu zetu wakenya nin kinawasibu mpaka kufikia hatua ya kutaman mpaka cheo cha Mungu.?
Na matukio mengne yaliyotukia ya wachungaji kuua mamia ya waumini kwa kuwashindisha njaa, wakiaminishwa yesu anakuja kuwachukua.
Ila Wakenya
Hivi ndugu zetu wa kenya wanamatatzo gani?
Ukiachana na yule jamaa aliejiita mungu (YEHOVA WANYONYI) wa kenya magharibi alifariki 2021.
sasa tena hukohuko kenya magharibi, akaunti ya kakamega, kitongoji cha chibuli.
mkazi mmoja akitambulika kwa jina la Afred Ndeta kajitangaza yey ni mungu na ndo baba wa yesu kristo.
anadai alishushiwa ufunuo huo 1987.
najiulza ndugu zetu wakenya nin kinawasibu mpaka kufikia hatua ya kutaman mpaka cheo cha Mungu.?
Na matukio mengne yaliyotukia ya wachungaji kuua mamia ya waumini kwa kuwashindisha njaa, wakiaminishwa yesu anakuja kuwachukua.
Ila Wakenya