Huyu ni dalali, na yeye pia kasimuliwa.hii ni tetesi au uko serious? maana kichwa cha habari umeandika ni tetesi hauna uhakika
Wadau kenta inauzwa ipo daresalaam ni ya tani 2 na nusu. Engine yake ni 33 na inabinua vizuri. Bei yake ni shilingi milioni 18.(18,000,000/=) kwa maelezo zaidi wasiliana na namba hii 0754 834839
inabinua vizuri??