George Barran JF-Expert Member Joined Sep 2, 2015 Posts 654 Reaction score 1,301 Oct 24, 2016 #1 Naitwa George nipo kigamboni natafuta kazi ya kinyozi far as salaam
Baraka sheni JF-Expert Member Joined Jan 5, 2015 Posts 473 Reaction score 198 Oct 24, 2016 #2 oya umepotea njia
M maharage ya ukweni JF-Expert Member Joined Aug 25, 2016 Posts 1,493 Reaction score 3,371 Oct 24, 2016 #3 Baraka sheni said: oya umepotea njia Click to expand... Atakua yule muhanga wa SCORPION
Saint Ivuga JF-Expert Member Joined Aug 21, 2008 Posts 55,026 Reaction score 59,662 Oct 24, 2016 #4 Baraka sheni said: oya umepotea njia Click to expand... Hajapotea, Atapata mbona wengi wanapata kazi hapa hapa JF?
Baraka sheni said: oya umepotea njia Click to expand... Hajapotea, Atapata mbona wengi wanapata kazi hapa hapa JF?
Baraka sheni JF-Expert Member Joined Jan 5, 2015 Posts 473 Reaction score 198 Oct 24, 2016 #5 Saint Ivuga said: Hajapotea, Atapata mbona wengi wanapata kazi hapa hapa JF? Click to expand... mkuu kwani hujui kusoma na hili ni jukwaa la nini kwa nini waliweka jikwaa la nafasi za kazi? na huyu jamaa amepost kwenye jukwaa gan? KINGINE ANGEWEKA UZOEFU KATIKA KAZI YAKE PIA HATA LEVEL YA ELIMU UMRI WAKE.
Saint Ivuga said: Hajapotea, Atapata mbona wengi wanapata kazi hapa hapa JF? Click to expand... mkuu kwani hujui kusoma na hili ni jukwaa la nini kwa nini waliweka jikwaa la nafasi za kazi? na huyu jamaa amepost kwenye jukwaa gan? KINGINE ANGEWEKA UZOEFU KATIKA KAZI YAKE PIA HATA LEVEL YA ELIMU UMRI WAKE.