kazi za postal bank!

kazi za postal bank!

sali20

Member
Joined
Jul 15, 2013
Posts
6
Reaction score
0
Wanajamii yoyote mwenye information kuhusu zile kazi za postal bank teller arusha na operation officer zanzibar brach?
 
Wale jamaa hawakuwa serious,wanaweka email ambazo ukituma application wanakwambia inbox yao
imejaa.ngoja waje wenyewe
 
Wale jamaa hawakuwa serious,wanaweka email ambazo ukituma application wanakwambia inbox yao
imejaa.ngoja waje wenyewe

rediculous.,,, my friend faced the same problem.....
 
rediculous.,,, my friend faced the same problem.....

Sasa sijui hawakujipanga....au it was tricky...walishapata watu wao kitambo
hii nchi imetapakaa sana rushwa,kujuana na udini kweny ishu za ajira
 
Sasa sijui hawakujipanga....au it was tricky...walishapata watu wao kitambo
hii nchi imetapakaa sana rushwa,kujuana na udini kweny ishu za ajira
Jamani kwa kweli tutapata ajira kwa hali hii? Dam this country its hilarious!
 
i faced the same problm too...na mwisho nikaona niende physical wakaniambia hawapokei hard copies na hata kama nikiziwcha hazitashuhulikiwa.nikawaambia km emalz mlizoweka nikituma zinafail.wakasema nijaribu tena lakn emalz ndio izo izo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom