Yaani migodi mikubwa mikubwa au unataka ukawe mchimbaji mdogo mdogo?
Kwa sababu kama migodi mikubwa lazima uwe na background ya kitu flani kama Mining Eng, Geologist, Mineral Processing Eng etc. Au labda dereva/operator’ wa yale madoza au dumper etc.
Otherwise nakushauri nenda tu huko huko kajimix na wachimbaji wadogo wadogo ila risk ipo pia si umesikia mashimo yamefukia mengi tu.
Kama muoga nenda surface mining kama Mwadui kwenye Diamond wale hawaingii chini wanachimba juu.
Dhahabu nyingi ni underground na tanzanite pia.