Kazi za kujitolea au part time

Kazi za kujitolea au part time

Joined
Jan 18, 2013
Posts
11
Reaction score
2
Kuna mdogo wangu amehitimu chuo shahada ya elimu katika masomo ya Swahili na historia! Kuna yeyote anajua anaweza kupata wapi kazi za kujitolea? Au kazi za part time?

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
mkuu, sema kazi ya part time. but kujitoea bila chochote ningumu sana coz nayeye anamaitaji yake binafusi, nauli, lunch etc.

pia ungesema yuko wapi au unamtafutia mkoa gani itakuwa swaga.
 
Mkuu unamaanisha kazi ya kujitolea AKA (bila malipo) ?

Duh hiyo mbona akigongea shule yoyote atapata, au hata kwanini asikusanye watoto mitaani aanze kuwapiga somo, akipata soko aanze kuwachaji kiasi fulani kama Tuition. Mkuu kama kuna Fani Tanzania ambayo mtu bado ni vigumu kukosa kazi ni ya kufundisha.
 
Kweli...mawazo yenu yako poa. Yuko dar! Hapa hapa. Ualimu wa private ameomba wanamzingua. Kuhusu hilo kufundisha watoto hao wa mitaani ni safi. Lakin inahitaji vifaa na darasa. Ambalo ni tatizo pia ni suala lingine la kuwapata hao watoto na kuwaweka pamoja. Any way naomba maoni yenu bado.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom