mm niliomba lakn cjui kama aplcatn ilifika manake cjapata jibuJamani nani atujulishe lini wanaita kwa interview maana kuomba Kazi tu ilikua Kazi.TRA badilisheni online application system yenu sio user friend kabisa
mimi niliomba custom officer mwezi wa 4 tarehe moja lakini mpaka leo hawajajibu....ss fikiria ww utaitwa lini