Kazi ya Udereva.

Kazi ya Udereva.

Kikusya

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2011
Posts
277
Reaction score
389
Wanajamvi, mimi natafuta kazi ya udereva wa magari makubwa au madogo si za abiria. Nina leseni ya magari magari ya mizigo lakini toka nimalize chuo cha udereva huu kazi bado sijapata. nina umri wa miaka 37. Sinywi kelevi wala sivuti sigara au mengine. Ahsanteni
 
Wanajamvi, mimi natafuta kazi ya udereva wa magari makubwa au madogo si za abiria. Nina leseni ya magari magari ya mizigo lakini toka nimalize chuo cha udereva huu kazi bado sijapata. nina umri wa miaka 37. Sinywi kelevi wala sivuti sigara au mengine. Ahsanteni
Una daraja E?
 
Mi mwenyewe natafuta kazi ya udereva wa magari makubwa na madogo nnacheti cha veta na shahada ya kufanyiwa kuendesha magari ya serikali kupitia goverment transiport agecy GTA nina uzoefu wa miaka 7 ila kwa kipindi nilisimama kutafuta kazi nilijiajiri ila bomoa bomoa imeniacha mtupu ndo maana nimeona bora nirudi kwenye taaluma yangu namba zangu ni 0717111140
 
Mi.mwenyewe.natafuta kazi ya udereva wa magari makubwa na madogo nimepitia mafunzo ya ufundi magari katika chuo cha veta na pia nimefanyiwa test ya kuendendesha magari ya serikal kupitia wakala wa ukodishaji magari ya serikali GTA. ila nilisimama kwa muda baada ya soko la ajira kuwa gumu nikaamua kujiajiri lakin imekuja bomoa bomoa bomoa imepitia kibanda changu nimeamua kurudi kwenye taaluma yangu no yangu ni 0717111140
 
Me pia natafuta kazi ya udereva nina daraja E na nina uzoefu wa miaka mitatu kwa magari madogo na magari ya mizigi pia ninacheti cha veta PSV my number 0767 664 959 & 0714 664 959 umri miaka 23 kabila musukuma mkristo
 
Nshaendesha gari zote Kali huko GTA SAN ANDRES,nahitaji Eicher za Goms asaiv.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom