Kazi psrs

Kazi psrs

xiande

Member
Joined
Oct 3, 2012
Posts
90
Reaction score
12
Jamaa wametoa kazi kupitia gazeti la serikali daily news la leo hii 2013.04.15
1:-monitoring and evaluation (M&E)
2;-public financial manager

Deadline ni april 30-
Kwa maelezo zaid ya sifa kamata nakala yako ya daily news faster bila kuchelewa...
Best of luck
 
Jamaa wametoa kazi kupitia gazeti la serikali daily news la leo hii 2013.04.15
1:-monitoring and evaluation (M&E)
2;-public financial manager

Deadline ni april 30-
Kwa maelezo zaid ya sifa kamata nakala yako ya daily news faster bila kuchelewa...
Best of luck

sio hizo tu,lakini hizo kazi zimerudiwa kutangazwa mara ya 3 sasa,inaonekana Tz hakuna mtu anayekidhi vigezo au wapo ila hawaombi
 
Wengne tupo bush kupata hilo gazeni ni ishu,tusaidien kuweka tangazo ili tuapply
 
Back
Top Bottom