Kazi Kwenye Mashirika

Kazi Kwenye Mashirika

Kajabila

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2017
Posts
539
Reaction score
944
Wadau Mdogo wangu ana umri wa miaka 24 anatafuta kazi kwenye mashirika ya Ukimwi ata Wakimbizi mwenye connection uko tafadhari ana diploma ya sheria tutajitahidi kurudisha fadhira
 
Mkuu Acha kutanguliza habari za Fadhira, Njia sahihi ni hii apeleke barua za ku-volunteer kwenye mashirika hayo. Hiyo itamsaidia kama ikitokea kuna miradi inakuja kwenye shirika itakua rahisi kwake sababu atakua tayari ana ujuzi wa kutosha kuhusu shughuri za miradi ya wahisani.
 
Hii Tanzania ya Sasa sio ha fadhila Tena.
NI ya vyeti na vigezo.. Huna hupati.. Habari za fadhila ni za awamu zilizopita
 
Fadhira=Fadhila
Mdogo wako hana access na JF kwanini akutumie wewe kupost tangazo lake?
Nakushauri mwambie aposti mwenyewe itasaidia sana wadau kumuuliza maswali directly.
Kila la heri kwake!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom