Kazi kwenu kinadada

Utanilipa shilingi ngapi?

Maana itabidi niache hii kazi ya kuajiriwa steshenari nije nimuendeshe Bi mkubwa wako..!
 
Hii ipeleke kwenye jukwaa la KAZI/TENDER na uandike "DEREVA WA KIKE ANAHITAJIKA". Mama ndiyo amesema anahitaji dereva wa kike au nyie ndiyo mmemwamulia? Wanawake kwa wanawake ndugu yangu sidhani kama watawezana, nakushauri aajiri dereva wa kiume, (au unaogopa jamaa atasimamia show?).
 
Kwani ma boyz hakuna? Au mother apo single? Tujue
 
Utanilipa shilingi ngapi?

Maana itabidi niache hii kazi ya kuajiriwa steshenari nije nimuendeshe Bi mkubwa wako..!

250.000/=Kwamwezi.lakini unaweza ukaongezewa kutokana nautendajiwako.wakazi ukiwamzuri.
 

Heshima muhimu.mister
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…