Siku moja baada ya aliekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Dkt.Wilbroad Slaa kutangaza kuachana na Siasa, hii leo Vijana kutoka Vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi Ukawa Jijini Mwanza wameandamana na kutangaza kuachana na Vyama vyao na kujiunga na Chama cha Mapinduzi CCM.
Ulaghai wa kisiasa huo.Hkuna kurudi nyuma hakuna lisilojulikana nyuma ya hako kamaandamano.Mungu hawezi kuacha watu wake wazidi kuteseka kwa miaka mingine.MABADILIKO LAZIMA .
Ulaghai wa kisiasa huo.Hkuna kurudi nyuma hakuna lisilojulikana nyuma ya hako kamaandamano.Mungu hawezi kuacha watu wake wazidi kuteseka kwa miaka mingine.MABADILIKO LAZIMA .
Sasa wanywa viroba wameanza kupata akili kidogo. Mpaka ifike 25 October watakuwa wanaelewa somo. Dr Slaa ataitisha mkutano mwingine tena na waandishi wa habari. Mtaisoma namba mwaka huu. #HapaKaziTu
Miaka 50 bado mnatupa matumaini kwamba Magufuli ndo atabadilisha nchi kwaani atakuja na sera gani?Kikwete mlisema atatuondoa kwenye umaskini kwa sasa hamtaki hata kumtaja aibu ilioje kwa watz wote utadhani tumeumbwa na ccm
We kipofu kweli umerukia treni kwa mbele huyo aliopo na begi la pesa ni amit aliyekamatwa wakati wa vikao vya ccm dodoma afu huyo aliye na lowassa ni mgombea ubunge jimbo la ilala kupitia chadema mustafa asanali punguza kushear upuuzi