kwahiyo kiongozi kwa mtazamo wako Kawambwa akiondoka watoto watafaulu? Maana yangu ni kuwa tuhangaike na mfumo na sio mtu.
kwahiyo kiongozi kwa
mtazamo wako Kawambwa akiondoka watoto watafaulu? Maana yangu ni kuwa
tuhangaike na mfumo na sio mtu.
kwahiyo kiongozi kwa
mtazamo wako Kawambwa akiondoka watoto watafaulu? Maana yangu ni kuwa
tuhangaike na mfumo na sio mtu.
Miemwenye - cha msingi! cha msingi! Wewe ndie umefilisika kabisa mawazo.
1. Kwanza, wewe sio msemaji wa wizara/waziri/malugo/kawambwa
2.Siamini kama suala la kuwajibika ni suala la mtu binafsi. hili ni suala la waziri mwenye dhamana ya Elimu ya watanzania ikiwa ni pamoja na kushauri kifanyike nini.
3. An act of omission or commission is all offences against citizens of the republic OR Irresponsibility or Incapacity to perform his duties or inefficiency in delivering. Yooote haya au mojawapo linapaswa kumfanya hata anyongwe kwa kitanzi.
4.Kawambwa atakosa ajira, hao waliofelishwa wanakosa MAISHA! Kama sio kawambwa basi wamtoe bosi wake kikwete (tunaweza ingia mtaani tukadai Regime CHANGE vile vile!
5.
Mkuu,haonewi,yeye ndio wa kuubadilisha huo mfumo,hauwezi kushushwa kama quran then tujikute umebadilika,jamaa kwa kuwa sio kichwa kama mwakyembe na magufuli ndo maana hawezi,wizara yake ni nyeti inatakiwa awekwe mtu timamu sio kilaza kama kawambwa
sasa kama kawambwa n kilaza nani awekwe pale 2kueke wewe?