Kavukavu soksi pembeni

George Barran

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2015
Posts
654
Reaction score
1,302
Habari wakuu, Tujipongeze kwa harakati za kujenga Tanzania yenye viwanda

Twende moja kwa moja kwenye mada yetu,wazee wa kuuza mechi za ugenini, kavukavu bila soksi

Hivi unajickiaje unaruka na mtoto mkali tena zaidi ya mara mbili umembidua vya kutosha, mikunjo kam boyka yan umekita co shoo ya kitoto, alafu baad y kam wik hv unackia mtaan na kwa washkaj kua uyo manzi kaungua yaan anamiwaya
Alafu ulpata bila soksi
Broh utafanya nn urudishe aman y moyo...??
 
ni kuanza kuishi tu kwa matumaini, hakuna amani ya moyo itakayopatikana ukiwa na virusi vya UKIMWI mkuu...usijidanganye...

vipi...yamekukuta nini
 
UKIMWI = Upungufu wa Kinga Mwilini.

Ukisikia yeye kaungua, ndio unapungukiwa kinga mwilini hapo hapo?
 
Kuna demu roho inaniuma mpaka kesho. Alikuwa anakimbiza mtaa mzima kwa uzuri. Alinishobokea mpka akawa ananiambia direct. Mzee sikupiga kwa kuwa mtaani alikuwa na kashfa ameungua. Na nikamchana live kwamba wewe NI tank la mafuta lenye betri inayotoa cheche unalipuka mda wowote, akalia kinoma.

Mazee nimekutana naye mwaka juzi after 11 yrs yupo na two health twins na hub wake. Then akaning'oneza wangekuwa wakwako Hawa. Dah kidogo nilie. Alafu ndo amezidi kunona daddeki
 
Wengine washakuwa sugu. Hawatumii na hawatakuja kutumia.

Ila wee endelea tu kutumia. Mana siko utayosema ujaribu tu kavu ndio hapo hapo imoo.
 
[emoji15] yamekukuta nn..
 
Amani ya moyo utaipata tu pale utakapotoka hospitali ukiwa na majibu yako. Yawe mazuri au mabaya, cha msingi ni kujua kuishi na majibu yako. Ukiliweza hilo utakuwa umerudisha amani ya moyo.
 
[emoji28][emoji28] co poa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…