Kauli za Rais Magufuli zinatusaidia kuliokoa Taifa la Tanzania na maisha ya mazoea

MLAU

JF-Expert Member
Aug 23, 2007
4,726
3,354
Kufuata hotuba ya Rais Magufuli alipofanya ziara mikoa ya kusini ya Lindi na Mtwara kuhusu madeni ya Tanesco imetusaidia sana.

Nimeona Zanzibar wameanza kupunguza deni lao na sasa JWTZ limepunguza deni lake la billion 3 kwa kulipa bilioni 1 taarifa iliyotolewa na Mkuu wa Jeshi la Ulinzi General Mabeyo.

Nadhani kauli za Rais Magufuli zinatusaidia kulikoa hili Taifa na baadhi ya mambo ambayo tulikuwa tunaishi nayo kwa mazoea.
 
Kwani hilo deni wanadaiwa watu gani?si hao hao serekali!unafikiri wanalipa serekali ni kodi zako my dear.Wote hao isipokuwa Zanzibar ni hela za OC ambazo hutokea hazina kwenda kwa hizo tasisi na za hazina ndio hizo kodi zetu.So usifikirie sasa Jeshi kulipa umeme is from their our sources.Hawazalishi my dear ,they all depends on the tax collection
 
vipi na deni la taifa..?
Tunalipa wote nchi nzima kwa huko tunakokopa maana ni mikopo ktk miradi ya Maendeleo ya nchi.

Labda kuomba misamaha ya kupunguziwa madeni kama alivyofanya Mh Rais mstaafu Benjamini Mkapa alipokuwa madarakani na madeni deni kwa sehemu kubwa lilipungua.
 
Kwani hilo deni wanadaiwa watu gani?si hao hao serekali!unafikiri wanalipa serekali ni kodi zako my dear.Wote hao isipokuwa Zanzibar ni hela za OC ambazo hutokea hazina kwenda kwa hizo tasisi na za hazina ndio hizo kodi zetu.So usifikirie sasa Jeshi kulipa umeme is from their our sources.Hawazalishi my dear ,they all depends on the tax collection
Hata kama ni Kodi yako ndiyo matumizi yake kila MTU anajua kuwa Revenue ya Serikali inatokana na Kodi.

Na Jeshi halizalishi lakini nidhamu ya kulipa huduma lazima uwepo ndani ya Taasisi za umma.

Na hiyo ndiyo ambayo Dr Magufuli apenda lifanyike kwa kila Taasisi ya umma.
 
Back
Top Bottom