Kauli ya serikali bungeni kuhusu mlipuko

Amani tuliyokuanayo inatoeka taratibu, serikali iko wapi?
 
siku za karibuni kumekuwepo jitihada kubwa sana za watu wachache wasiyoitakia mema nchi yetu kutaka kupandikiza chuki za kidini miongoni mwa watanzania na kuleta mapigano na mauaji miongoni mwa watanzania, sina shaka kuwa shambulio la Arusha ni sehemu ya mikakati hiyo miovu. Nataka niwahakikishie Watanzania kuwa Serikali haitavumilia hata kidogo mbegu za chuki za kidini miongoni mwawatanzania na tutachukua hatua kali bila huruma kuzigandamiza njama hizi mbaya dhidi ya taifa letu.
Serikali msirudi nyuma bali waadabisheni wahujumu taifa wote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…