Katoro ni Business center inayokua kwa kasi ya ajabu

Nilikuwa hapo mwaka jana, nilikutana na jamaa mmoja alihamia hapo kutoka musoma amefungua mgahawa opposite na kituo cha polisi anasema ela ipo na anajuta kuchelewa kuja katolo
 
Vp huko Rwamgasa hali ya biashara ikoje ukilinganisha na katoro na Geita Mjin
Rwamgasa ipo isolated sana...huko sanasana unahudumia wachimbaji wadogo wa hapo na wale wa huko stamico...so biashara sio kubwa kama katoro center
 
Shemeji angu alienda katoro miaka 10 iliyopita sasa HV ana miliki semi trailer na machimbo ya Dhahabu, watoto wake wawl wanasoma shule iliyokuwa ya pili Tanzania ACSEE results, na alienda that time akiwa hana kitu akafkia kuuza maji
 
kwaioo huko biashra zinaenda kuliko mwanza maana nina kesho ninasafir kwenda mwanza kutafuta frame ya biashara
 
Katoro mji uliopo ndani ya Geita, Mangi alikuja hapa miaka 6 iliyopita leo nimefika tena kwakweli mji unakua kwa kasi, kama unamtaji wako mzuri na ulitegemea kuinvest lakezone bila shaka Katoro ndio penyewe! Kama upo Katoro .... karibu uweke ushuhuda wako hapa mmewezaje kuujenga mji kwa kasi mdani ya muda mfupi hivi....
Fursa alilizoziona mangi
Kwasasa kitu cha haraka haraka ni mzigo wa nguo za special...vifaa vya electronics...Hardware....kuuza pikipiki/Baiskeli au/na spare...saloon kubwa (executive Barbershop) ... nafaka kwasababu hawalimi sana...kampuni za ulinzi ..kuinstall cctv..electric fence..e.t.c...la mwisho ni kufungua Katoro Fm huku watu wanapenda sana radio
Wengine karibuni..
View attachment 1091682
 
Katoro mji uliopo ndani ya Geita, Mangi alikuja hapa miaka 6 iliyopita leo nimefika tena kwakweli mji unakua kwa kasi, kama unamtaji wako mzuri na ulitegemea kuinvest lakezone bila shaka Katoro ndio penyewe! Kama upo Katoro .... karibu uweke ushuhuda wako hapa mmewezaje kuujenga mji kwa kasi mdani ya muda mfupi hivi....
Fursa alilizoziona mangi
Kwasasa kitu cha haraka haraka ni mzigo wa nguo za special...vifaa vya electronics...Hardware....kuuza pikipiki/Baiskeli au/na spare...saloon kubwa (executive Barbershop) ... nafaka kwasababu hawalimi sana...kampuni za ulinzi ..kuinstall cctv..electric fence..e.t.c...la mwisho ni kufungua Katoro Fm huku watu wanapenda sana radio
Wengine karibuni..
View attachment 1091682
 
Nilishafika shinyanga kipindi cha nyuma sina uzofu na mikoa hiyo japo nina ndugu wengi huko..vipi biashara ya fast food inalipa huko..
 
Back
Top Bottom