Katoro na Buseresere ni maeneo yanayopakana, ukiwa mgeni unaweza usijui kama ushatoka katoro na kuingia buseresereBuseresere vp
Dada soon nakuja kuziona izo fursaKaribuni jaman. fursa zipo tele..haswa electronics..
Watakuwa ni wengi sana maana ndiko kule kwenye Sera ya kufyatuaidadi ya watu hapo katoro ni ipi?
Sure mkuu ila kuna sehemu kupata pesa inakuwa rahisi hasa kulingana na mwingiliano wa watuHivi mzunguko wa biashara unapimwaje?.Mahali popote mtu unapiga pesa endapo tu utaona fursa.
Katoro mji uliopo ndani ya Geita, Mangi alikuja hapa miaka 6 iliyopita leo nimefika tena kwakweli mji unakua kwa kasi, kama unamtaji wako mzuri na ulitegemea kuinvest lakezone bila shaka Katoro ndio penyewe! Kama upo Katoro .... karibu uweke ushuhuda wako hapa mmewezaje kuujenga mji kwa kasi mdani ya muda mfupi hivi....
Fursa alilizoziona mangi
Kwasasa kitu cha haraka haraka ni mzigo wa nguo za special...vifaa vya electronics...Hardware....kuuza pikipiki/Baiskeli au/na spare...saloon kubwa (executive Barbershop) ... nafaka kwasababu hawalimi sana...kampuni za ulinzi ..kuinstall cctv..electric fence..e.t.c...la mwisho ni kufungua Katoro Fm huku watu wanapenda sana radio
Wengine karibuni..
View attachment 1091682
Katoro mji uliopo ndani ya Geita, Mangi alikuja hapa miaka 6 iliyopita leo nimefika tena kwakweli mji unakua kwa kasi, kama unamtaji wako mzuri na ulitegemea kuinvest lakezone bila shaka Katoro ndio penyewe! Kama upo Katoro .... karibu uweke ushuhuda wako hapa mmewezaje kuujenga mji kwa kasi mdani ya muda mfupi hivi....
Fursa alilizoziona mangi
Kwasasa kitu cha haraka haraka ni mzigo wa nguo za special...vifaa vya electronics...Hardware....kuuza pikipiki/Baiskeli au/na spare...saloon kubwa (executive Barbershop) ... nafaka kwasababu hawalimi sana...kampuni za ulinzi ..kuinstall cctv..electric fence..e.t.c...la mwisho ni kufungua Katoro Fm huku watu wanapenda sana radio
Wengine karibuni..
View attachment 1091682
Inalipa saaanaNilishafika shinyanga kipindi cha nyuma sina uzofu na mikoa hiyo japo nina ndugu wengi huko..vipi biashara ya fast food inalipa huko..