A! Tunashukuru kutupa nakala ya Katiba ya wenzetu! Lakini ya faida gani kama yetu inaandikwa na wenye shida maalum? Acha tu wapate wanachokitaka, wengine hata lugha tunayoisikia mitaani inabainisha kuwa ni ya kubana wanaodhaniwa wenye haki za ukubwa wasithubutu hata kujulikana haki zao kwa kupitia njia halali za wenye sifa za ukubwa. Ukimtaja tu jina mtu kama huyo unakufa. Kolimba alimjua mmoja wao wakahakikisha hatasema milele.Tanzania imo mikononi mwa wenye mihadarati, tutaandika Katiba yetu watakapoondoka, hata Colombia karibu wanakwisha itakuwa Tz?