Tume huru ya uchaguzi na katiba mpya haviwezi kuwa msaada kwa anaye shindwa kwa kishindo. Mabadiliko yanaweza kuwa muhimu lakini sio sababu iliyo fanya wana CHADEMA kuachwa mbali na wana CCM...Maccm bado yanakubalika sana na Watanzania lakini wakati huo huo yanahofia uchaguzi HURU na wa HAKI hivyo yameishia kupora uchaguzi kupitia vitengo vyao wiwili vya polisiccm na Tume FEKI ya uchaguzi.
Chama Cha Mburulazzzzz, katiba mpya sio takwa la wanasiasa ni takwa la wananchi
Natamani sana kuona tafiti zilizo fanywa mpaka kufikia tamati na kusema kwamba "wananchi ndio wana hitaji katiba mpya". Kama ni kura ya maoni, wali chukua sample size ya watu wangapi mpaka kuwa na uhakika na kusema kwamba watanzania wana hitaji katiba mpya. Vile vile ukiwa sikiliza sana CHADEMA utagundua kwamba wame chukulia kitu kuwa "personal" zaidi.Chama Cha Mburulazzzzz, katiba mpya sio takwa la wanasiasa ni takwa la wananchi
Ukiandaa sherehe na ukajikuta umekosa kinywaji na chakula utakuwa mtu wa ajabu.Ushindi wa asilimia zaidi 80 kwenye uchaguzi mkuu na wawakilishi wengi bungeni kuliko chama chochote in ishara ya ku kubalika zaidi nchini.
Haya bwana..Umeandika takataka tu hapa. Ccm iliishakufa kitambo haipo, sisi kwenye nafasi yake tunaona tu tume yao ya uchaguzi, usalama wa taifa na polisi eti kinashiriki kwenye uchaguzi kinachoandaa na kusimamia chenyewe sasa hapo bado kuna chama kweli.
Katiba ni takwa la wananchi na wàlishakusanya maoniWana bodi,
Katika pita pita zangu niki tazama hali ya siasa nchini ikiwemo kesi inayo mkabili Freeman Mbowe na mbinu zinazo tumiwa na wana CHADEMA kudai katiba mpya, nime jiuliza maswali ambayo labda nitapata ufafanuzi zaidi. Je, mabadiliko ya katiba yatawa saidia wana CHADEMA? Je, katiba ya sasa hivi ndio sababu ya chama cha CCM kuwa na support kubwa nchini kwote? Je tume huru ya uchaguzi ina manufaa kwako kama unashindwa uchaguzi kwa kishindo?
Katiba inaweza isiwe priority sana kwa mtanzania wa kawaida katika kipindi hiki ambacho serikali inajaribu kufikisha huduma mbalimbali kwao. Vile vile karatasi tu haiwezi kutosha kuwatoa wana CHADEMA kutoka walipo sasa hivi mpaka kufikia hatua ya wao kuwa piku CCM. Kama ningekuwa natoa alama kwa vyama vya siasa ningewapa CHADEMA asilimia 5 na wana CCM asilimia 95.
Ukweli wa mambo ni kwamba Chama cha Mapinduzi bado kina kubalika sana kwa watanzania kuliko chama kingine chochote na wana CHADEMA wana hitaji mbinu mbadala kuwafanya wafikie hatua hiyo hiyo. Karatasi hii inayo gombaniwa sio kila kitu kwa wana CHADEMA bali kuwafikia wananchi kwa sera na mipango mizuri ndio muhimu zaidi kwao.
Lakni na kukubalika kwao kuteka,kupora fomu,kuiba kura,jeshi lá policcm kupiga na kuteka watu wa upinzani ili tu ibaki madarakani,watu kupewa kesi za uongo,kupiga bila kupingwa, fomu ya Urais kufanywa moja kote huko nikukubalika kwa ccm.Wana bodi,
Katika pita pita zangu niki tazama hali ya siasa nchini ikiwemo kesi inayo mkabili Freeman Mbowe na mbinu zinazo tumiwa na wana CHADEMA kudai katiba mpya, nime jiuliza maswali ambayo labda nitapata ufafanuzi zaidi. Je, mabadiliko ya katiba yatawa saidia wana CHADEMA? Je, katiba ya sasa hivi ndio sababu ya chama cha CCM kuwa na support kubwa nchini kwote? Je tume huru ya uchaguzi ina manufaa kwako kama unashindwa uchaguzi kwa kishindo?
Katiba inaweza isiwe priority sana kwa mtanzania wa kawaida katika kipindi hiki ambacho serikali inajaribu kufikisha huduma mbalimbali kwao. Vile vile karatasi tu haiwezi kutosha kuwatoa wana CHADEMA kutoka walipo sasa hivi mpaka kufikia hatua ya wao kuwa piku CCM. Kama ningekuwa natoa alama kwa vyama vya siasa ningewapa CHADEMA asilimia 5 na wana CCM asilimia 95.
Ukweli wa mambo ni kwamba Chama cha Mapinduzi bado kina kubalika sana kwa watanzania kuliko chama kingine chochote na wana CHADEMA wana hitaji mbinu mbadala kuwafanya wafikie hatua hiyo hiyo. Karatasi hii inayo gombaniwa sio kila kitu kwa wana CHADEMA bali kuwafikia wananchi kwa sera na mipango mizuri ndio muhimu zaidi kwao.
Ubongo wako ume lalaTusubiri wanasiasa wajao wenye siasa makini na za kuleta maendeleo kwa wananchi na taifa kwa ujumla. Hivi sana tuna vyama ambavyo havina rasilimali watu wala utaalamu wa kufanya tafiti na kuona nini wananchi wanataka.