Kati ya Vyama vya Upinzani na Shujaa Magufuli nani alipigania Mabadiliko ya kweli dhidi ya CCM?

Umeandika kikejeri sana, Acheni demokrasia na chaguzi za uhuru na haki vishike hatamu ndo tuje tujadili huu upupu wako
 
Kazi kweli kweli ! Ngoja tuone !!
 
Hakuna ndio maana CCM imebaki kuwa ile ile ndani ya dakika 0 kila kitu kimerudi kama kilivyokuwa hapo awali kwa sababu alikuwa amezungukwa na machawa ambao ni wanafiki wanasifia kila ambaye wanaona kwa muda huo anawafaa.
Ndio wale wale walimsifia Jk, wakati Jpm wakamkandia, sasa wanamsifia aliyepo wanamkandia jpm na itaendelea kwa ajaye.
 

Shida wengi hawajakujua wewe ni Mnafiki. Kwa hivyo kwa akili zako ndogo unadhani uchaguzi wa 2020 uliendeshwa sawa na uchaguzi wa 1995?. Tangu lini ukazima Internet kwa wiki mbili?.
 

Umeongea ukweli kabisa.
 

Naomba niseme ukweli. Kwangu Mimi Magufuli alikuwa the worst president kuliko wote, Kanda amzidi huyu mama wa Sasa. Kiongozi akishajiona yeye ndio kila kitu mwisho wake mbaya. Ndio maana alikufa kifo Cha utata huko gizani.
 
Wacha uongo. Mapovu yanawatoka sasa watu wanafanya hija kule Chato

Hamia ulipotoka

Hoja wanafanya kwa maalim seif mpaka watu wameanza kuiba mchanga. Serikali imeweka zuio kwa watu kwenda. Sio kwa makatili wanao Nuka damu za watu.
 
John the Baptist ni Mnafiki hii Dunia hakuna. Kaandika kukejeri Magufuli kwa kuingiza hoja ya uchaguzi wa 2020
 
Kifo cha magufuli was the biggest loss ever happened in africa, nitaomboleza kifo chake kila siku kwa maisha yangu yote
 
Hakuna cha shujaa
 
Magufuli was a ruthless despot who silenced freedom of expression, remotely controlled the Parliament, and threatened the judiciary. Little is known of how Magufuli was evil by people outside Tanzania. He was a murderer, pathological liar, and mysonigist

Only illiterates like you will applaud this murderer!! I don't blame you majority of Tanzanians it's because of your ignorance and lack of initiatives to seek information. You were trapped in his 5 years false propaganda
 
πŸ‘ŒπŸ‘πŸ‘πŸ™πŸ’πŸŽπŸŽ–οΈπŸ†
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…