endesha
JF-Expert Member
- Dec 9, 2015
- 1,109
- 1,452
Kwakweli Tangu mpira ulipoanza kuchezwa ,Imejipatia Mashabiki kila Pembe Ya Dunia.Na Burudani hasa kwa wale Mashabiki wa Mpira wenyewe.
Lakini Burudani huongezeka pale kunapotokea Wanaume ambao hulazimisha Mpira kutii kile wanachokitaka wao.
Swali ni moja tu kati ya hao ni yupi zaidi wa Kuchezea mpira,Kupiga chenga za Maudhi na Manjonjo mengine yanayoongeza Burudani ndani ya Uwanja?
Mimi si Mhenga,Lakini nimeangalia Clips za Maradona akaniacha Mdomo wazi
Lakini Burudani huongezeka pale kunapotokea Wanaume ambao hulazimisha Mpira kutii kile wanachokitaka wao.
Swali ni moja tu kati ya hao ni yupi zaidi wa Kuchezea mpira,Kupiga chenga za Maudhi na Manjonjo mengine yanayoongeza Burudani ndani ya Uwanja?
Mimi si Mhenga,Lakini nimeangalia Clips za Maradona akaniacha Mdomo wazi