Zitto Kabwe: Nitajiuzulu Ubunge kama Serikali itanionyesha tani milioni 1.5 za Mahindi

barafu

JF-Expert Member
Apr 28, 2013
6,726
32,818
Kauli ya Zitto:

Serikali ya CCM ikinionyesha tani 1.5m za chakula ambazo inataka kusambaza najiuzulu Ubunge mara moja.

Narudia, mpaka Oktoba 2016 kulikuwa na nafaka tani 90,400 tu Hivi kwenye maghala yote ya NFRA.

Tunashukuru kuwa Hivi sasa ajenda ya tishio la njaa inapata majawabu na matamko. Ndio wajibu wa vyama vya siasa. Kuibua masuala muhimu kwa nchi yetu.

Nimesikia Mwenezi wa CCM ameongea na waandishi Leo. Natarajia ndugu Ado Shaibu atamkaribisha mwenzake ulingoni
 
What the hell is this? Hadi chakula tunadanganywa tutakula mawe mwaka huu. Zito aongezee hapo na Faru akishindwa ajiuzulu. Kama kubet namwekea Zito Faru sijawahi kumwamini
Haitaji aaminiwe mpaka na wewe mwana ccm usie jua nzuri na baya wewe lisemwalo na chama ni sawa tu!!!! Kaa kimya tu unapo semwa ukweli, hilo la faru John lishikie wewe bango yeye kasemea tani za chakula.
Unataka tuhame mda?
Faru John ashaonfelewa humu sana
 
Zitto anasumbuliwa na upweke ( loneliness ) inayompelekea kupata Frustration na Frustration is an emotion that occurs in situations where a person is blocked from reaching a desired outcome.

Kuna upweke wa aina nying
1 Interpersonal Loneliness.
2 Intellectual loneliness.
3 Cultural loneliness.
4 Cosmic or Existential loneliness.
5 Social loneliness.
Sasa nyinyi mchagulie aina ya upweke ambao unahisi anaweza kuwa nao
 
Zitto anasumbuliwa na upweke ( loneliness ) inayompelekea kupata Frustration na Frustration is an emotion that occurs in situations where a person is blocked from reaching a desired outcome.

Kuna upweke wa aina nying
1 Interpersonal Loneliness.
2 Intellectual loneliness.
3 Cultural loneliness.
4 Cosmic or Existential loneliness.
5 Social loneliness.
Sasa nyinyi mchagulie aina ya upweke ambao unahisi anaweza kuwa nao
Mbona kama ni nje ya point mkuu?
 
Hata Mimi namuunga mkono Zitto mia kwa mia kwa vile hii serikali haijanunua nafaka awamu hii ya tano. Na pia iliondoa ruzuku ya mbolea toka bilioni 76 hadi bilioni 10. Serikali inayotaka kujitosheleza kwa chakula haiondoi ruzuku ya mbolea kwa kubana matumizi.

Kama Zitto akionyeshwa maghala yenye hicho chakula mimi nitamuunga mkono kwa KUNYA hapa hapa JF
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom