Kashfa mpya kwa Meya wa BUKOBA!Anatory Aman.

Kashfa mpya kwa Meya wa BUKOBA!Anatory Aman.

DJ Baraka

Senior Member
Joined
May 15, 2013
Posts
177
Reaction score
82
Dr-Anatory-Amani.jpg

Kwa kipindi kirefu meya wa manispaa ya bukoba kule kagera amekuwa katika msuguano wa kisiasa na mbunge wa jimbo hilo Balozi Kagasheki.kila mtu anajua kuwa mgogoro huo uliundiwa tume na haijatoa majibu.lakini kabla tume haijatoa majibu tayari serikali imemuahmisha mkurugenzi wa hapo.Sasa huko mimi siko.

Taarifa nilizopata kutoka kule kagera(na mtoto wa jamaa yangu ni mhanga) ni kuwa Meya huyo anafanya mchezo wa ajabu sana kwa shule zake anazomiliki.(Aman primay,peace sekondar nk).

alichokuwa akifanya tangu nyuma ni kuwatapeli wanafunzi wanaokuwa wakilamaliza kidato cha nne amabo anaona wanaweza kupata division 0 au 1V.anachofanya ni kuwahamishia katika shule nyingine bila wazazi wao watoto kujua:Anachofanya ni kuongea na baadhi ya shule ikiwemo Sekondari ya BERNARD iliyoko wilayani karagwe.(yahani mwanafunzi anasoma AMAN lakini number yake ya mtihani iko Bernard au kwingineko.

sasa katika mkutno wa wazazi uliofanyika hivi karibuni shuleni hapo wameelezwa na timu ya uchunguzi iliyoundwa na mkoa wa kagera kuwa wanafunzi zaidi ya 102 hawana usajiri shuleni hapo licha ya kusoma hapo na kuwaomba wazazi wenye watoto ama kuondoa watoto wao au kuongea na mmiliki huyo (aman) ili wajue la kufanya.

katika mwaka 2011:TATIZO HILI LILIJITOKEZA KATIKA SHULE YAKE SOMA HAPA

Sekondari ya Meya wa Bukoba inavyowatapeli wanafunzi


binafsi jamaa yangu mtoto wake yumo kwenye hii list mpya ya waliopelekwa kwingine licha kulipa karo kwa huyo meya.

nitaingiza hapa barua kadhaa na documents mbalimbali na maelezo juu ya meya huyo wa CCM anavyotumia nafasi yake kualimu elimu nchini na mengine mengi.

watu wa siasa mkae kando,sionglei siasa hapa tafadhali!

Nitarejea:
 
Naona na wewe umejiingiza kwenye bifu lao na sasa unatumika kumchafua meya. Bahati nzuri taarifa za yanayoendelea huko tunazo
 
Tatizo lipo kwa màana ya conflict of interests. Ni vigumu kuwa msimamizi wa huduma za umma at the same time nawe ni mshindani ukiendesha ushindani juù ya ulichopewa mamlaka kuhakikisha kinakuwa bora. Kufanya elimu iwe bora BUKOBA ni kumfanya AMAN apoteze soko la biashara yake.
suala la wanafunzi kuhamishwa pale PEACE SEC. kwa kadili ninavyojua tatizo la msingi sio mmiliki wa shule bali ni wazazi na wanafunzi husika. MTOA MADA ZINGATIA TARATIBU WANAZOKUBALIANA KABLA YA KUHAMISHWA SHULE.
 
View attachment 94218

Kwa kipindi kirefu meya wa manispaa ya bukoba kule kagera amekuwa katika msuguano wa kisiasa na mbunge wa jimbo hilo Balozi Kagasheki.kila mtu anajua kuwa mgogoro huo uliundiwa tume na haijatoa majibu.lakini kabla tume haijatoa majibu tayari serikali imemuahmisha mkurugenzi wa hapo.Sasa huko mimi siko.

Taarifa nilizopata kutoka kule kagera(na mtoto wa jamaa yangu ni mhanga) ni kuwa Meya huyo anafanya mchezo wa ajabu sana kwa shule zake anazomiliki.(Aman primay,peace sekondar nk).

alichokuwa akifanya tangu nyuma ni kuwatapeli wanafunzi wanaokuwa wakilamaliza kidato cha nne amabo anaona wanaweza kupata division 0 au 1V.anachofanya ni kuwahamishia katika shule nyingine bila wazazi wao watoto kujua:Anachofanya ni kuongea na baadhi ya shule ikiwemo Sekondari ya BERNARD iliyoko wilayani karagwe.(yahani mwanafunzi anasoma AMAN lakini number yake ya mtihani iko Bernard au kwingineko.

sasa katika mkutno wa wazazi uliofanyika hivi karibuni shuleni hapo wameelezwa na timu ya uchunguzi iliyoundwa na mkoa wa kagera kuwa wanafunzi zaidi ya 102 hawana usajiri shuleni hapo licha ya kusoma hapo na kuwaomba wazazi wenye watoto ama kuondoa watoto wao au kuongea na mmiliki huyo (aman) ili wajue la kufanya.

katika mwaka 2011:TATIZO HILI LILIJITOKEZA KATIKA SHULE YAKE SOMA HAPA

Sekondari ya Meya wa Bukoba inavyowatapeli wanafunzi


binafsi jamaa yangu mtoto wake yumo kwenye hii list mpya ya waliopelekwa kwingine licha kulipa karo kwa huyo meya.

nitaingiza hapa barua kadhaa na documents mbalimbali na maelezo juu ya meya huyo wa CCM anavyotumia nafasi yake kualimu elimu nchini na mengine mengi.

watu wa siasa mkae kando,sionglei siasa hapa tafadhali!

Nitarejea:

Je shule hiyo haikidhi viwango vya wanafunzi kusoma?(Yaani miundombinu,waalimu wa kutosha,vitabu na mazingira rafiki?)Kama jibu ndiyo,kwa nini mlipeleka watoto wenu hadi wanafika f.4 ndipo maneno haya yanaanza?Je iwapo mtoto amesoma vizuri na hatimae akapelekwa kufanyia mtihani shule nyingine anaathirikaje?Ingawa unawaonya wanasiasa wasichangie uzi huu,wewe unaposema(hapo juu)...'meya huyu wa CCM'...huoni kwamba umejichanganya tu mkuu!Nakushauri ujitahidi siku zote kuwa objective na siyo subjective kama unavyotaka kuwa sasa!Majungu,husda,na fitna vinaweza kuzalisha sumu inayoweza kukuua kabla hujatimiza ndoto zako mkuu kama zipo lakini!Kila la heri.

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Edson Kamukala leo umeamua kuja kivingine ilishatajwa hapa JF kuwa ugomvi wako na Dk Aman ni pale ulipomtaka akupe fedha ili usiandike hiyo habari.Hasira za kunyimwa fedha umekuwa ukitumia gazeti unaloondikia na nafasi yako kama mhariri kujidhalilisha na kuonyesha udhaifu wako.Inawezekana kweli kuna madudu anayofanya Dk Aman na kama yapo Serikali na chama chake wanastahili kulaumiwa kwa kushindwa kuchukua hatua.
 
Edson Kamukala leo umeamua kuja kivingine ilishatajwa hapa JF kuwa ugomvi wako na Dk Aman ni pale ulipomtaka akupe fedha ili usiandike hiyo habari.Hasira za kunyimwa fedha umekuwa ukitumia gazeti unaloondikia na nafasi yako kama mhariri kujidhalilisha na kuonyesha udhaifu wako.Inawezekana kweli kuna madudu anayofanya Dk Aman na kama yapo Serikali na chama chake wanastahili kulaumiwa kwa kushindwa kuchukua hatua.
KAJUGUJUGU,

Nikukumbushe, name calling ni kosa ndani ya JF. Nakuombea usipatwe na adhabu! Pili, nakumbuka siku za nyuma kuingilia malalamiko ya mtu mmoja kutumia jina la Bukoba Wadau humu jamvini, kuanzisha mada za ugomvi wa Mayor na Mbunge huku akilalia upande mmoja. Ilibainika mtumiaji wa jina hapa JF hakuwa na uhusiano wala ridhaa ya MC Baraka-mmiliki na mwendeshaji wa http://bukobawadau.blogspot.com/. Ujio wa DJ Baraka katika uanzishaji wa mada zenye mlengo sawa na alizokuwa akianzisha @Bukoba Wadau wa JF kipindi kile, unatia mashaka!. Si mchezo mzuri kwa sababu unachonganisha watu ndani ya Jamii. Na unaharibu sura ya chombo cha habari na kukifanya kionekane kinaendeshwa na watu wenye upendeleo.

Nitafurahi kama huyu DJ Baraka atajitokeza na kuweka bayana kutohusika kwake wala kutokuwa na mahsiano na Bukoba Wadau Blog.
 
Katika nchi zenye proffesional police service,hii ni issue nzuri tu wangefika haraka sana kumhoji.
 
Baada ya ya kusoma maelezo ya Mama Anna Tibaijuka kwenye uzi huu Siku Nilipotua kwa ndege Bukoba nikiwa peke yangu! nimegundua uzalendo unaanzia mbali. Na majungu ni kichocheo kikubwa katika kuchelewesha maendeleo kwenye jamii husika. Kuna haja ya kujihoji; tunafaidika nini kuwabomoa watu kwa upambe wetu? DJ Baraka ebu tujaribu kubadilika, tutafute na mazuri ya watu wetu, mkoa wetu na tuyatangaze. Kwa tabia hii ungekuwa unaishi katavi kwa Mzee Pinda ungeandika au kusingizia mabaya mangapi?
Leo nimeshuhudia matumizi mabaya ya fedha za Umma,Waziri huyo ametua hapa airport kwa ndege ya serikali,Li-Ndege nzima alikuwa yeye na mpiga picha.Hivi huko alikotoka hakuona watu wa kuja bk? na kwa nini hivi lakini?
Nasikia anakuja kwa issue ya vifo vya watoto 23 katika jimbo lake vilivyotokana na malaria.
Edson Kamukala leo umeamua kuja kivingine ilishatajwa hapa JF kuwa ugomvi wako na Dk Aman ni pale ulipomtaka akupe fedha ili usiandike hiyo habari.Hasira za kunyimwa fedha umekuwa ukitumia gazeti unaloondikia na nafasi yako kama mhariri kujidhalilisha na kuonyesha udhaifu wako.Inawezekana kweli kuna madudu anayofanya Dk Aman na kama yapo Serikali na chama chake wanastahili kulaumiwa kwa kushindwa kuchukua hatua.
KAJUGUJUGU,
Nikukumbushe, name calling ni kosa ndani ya JF. Nakuombea usipatwe na adhabu! Pili, nakumbuka siku za nyuma kuingilia malalamiko ya mtu mmoja kutumia jina la Bukoba Wadau humu jamvini, kuanzisha mada za ugomvi wa Mayor na Mbunge huku akilalia upande mmoja. Ilibainika mtumiaji wa jina hapa JF hakuwa na uhusiano wala ridhaa ya MC Baraka-mmiliki na mwendeshaji wa BUKOBAWADAU. Ujio wa DJ Baraka katika uanzishaji wa mada zenye mlengo sawa na alizokuwa akianzisha @Bukoba Wadau wa JF kipindi kile, unatia mashaka!. Si mchezo mzuri kwa sababu unachonganisha watu ndani ya Jamii. Na unaharibu sura ya chombo cha habari na kukifanya kionekane kinaendeshwa na watu wenye upendeleo.
Nitafurahi kama huyu DJ Baraka atajitokeza na kuweka bayana kutohusika kwake wala kutokuwa na mahsiano na Bukoba Wadau Blog.
Vigezo na mashariti vizingatiwe..Kajugujugu unahitaji BAN...Hii habari haina ukweli wowote.
Katika nchi zenye proffesional police service,hii ni issue nzuri tu wangefika haraka sana kumhoji.
hoja imeungwa mkono nafikiri waliosema ndiyo wameshinda
 
Back
Top Bottom