Karibu Umeme wa Back-up na Solar

Karibu Umeme wa Back-up na Solar

Kiongozi mimi nimefunga Solar power ya 200watt ila haikai kabisa na moto. Betri haijawai kujaa.
Betti ni 200Nh, Solar panel ya 200watt na controller ya 20amps. Je hapo tatizo ni nini? Wire uliofungwa ni 6mm.
naomba mawasiliano yako tuwasiliane 0716485858/0762246488
 
Snl solar limited inatoa huduma bora za solar kwa mteja ambae hana tanesco pia Tunakupatia huduma ya backup kwa mteja ambae anayo tanesco ila hataki kukatikiwa na umeme.
Ofisi zetu zipo Kinondoni studio kituo cha vijana barabara ya kwenda mwanayamala
WASILIANA NASI 0762246488/0714373488
AU INSTAGRAM @snlsolarltd
 
Naomba bei zenu za Panel na Battery (back up system)
Bei zipo tofauti kulingana na ukubwa au size ya panel/battery waweza wasiliana nasi 0762246488/0714373488 sisi tutakupigia kukujulisha bei zote kulingana na size. KARIBU SANA SNL SOLAR LTD
 
watakiwa kuweka bei ya hizo panel za ukubwa tofauti tofauti tujut kabisa. Vitu kama invetor na taa za ukubwa tofauti na bei zake. Manake pengine mwingine system anayo labda anataka taa tu sa ukitegemea mtu akupigie kukuuliza bei ya taa wakat angeweza kusoma tu na kufanya maamuzi utasubiri sana
 
watakiwa kuweka bei ya hizo panel za ukubwa tofauti tofauti tujut kabisa. Vitu kama invetor na taa za ukubwa tofauti na bei zake. Manake pengine mwingine system anayo labda anataka taa tu sa ukitegemea mtu akupigie kukuuliza bei ya taa wakat angeweza kusoma tu na kufanya maamuzi utasubiri sana

Ok your welcome, tutaanza kupost kimoja kimoja na bei zake soon
 
Snl solar Ltd Inakupatia Huduma bora na za kisasa na zenye uhakika wa kukupatia umeme muda wote.

1.TUNAFUNGA BACKUP ZA UMEME maofisini, majumbani na kwenye miradi mbalimbali ya uchumi mfano ufugaji etc
Backup system ni umeme wa uhakika kwa wewe mteja wa tanesco
kwani tanesco inapokata automatically unaendelea kupata umeme bila
kitu chochote kuzima.
2. SOLAR POWER SYSTEM, kwa mteja ambae uhitaji kuingia gharama za luku basi solar power system ni suruhisho tosha
kwani SNL SOLAR LTD inakupatia solar na system bora za kisasa itakayokuwezesha kupata
umeme wa kutosha muda wote.

PIA kwa mteja yeyote ambae tayari amekwisha fungiwa system na anasumbuliwa basi SNL SOLAR LTD inatoa ushauri wa BURE wa kukuboreshea system yako.

OFISI ZETU ZIPO KINONDONI VIJANA
WASILIANA NASI 0762246488/0714373488
UKURASA WETU WA FACEBOOK: www.facebook.com/snlsolarltd
INSTAGRAM @snlsolarltd
snl 010.JPG
 
UHAKIKA NA SALAMA.
Tunapozungumzia uhakika na salama tunamaanisha uhakika wa umeme muda wote na Salama kwa matumizi yako ya nyumbani ofisini na hata kwenye miradi mbalimbali ya kiuchumi kama shambani, saloon, madukani na sehemu nyingine nyingi zinazohitaji umeme.

SNL SOLAR LTD PEKEE ndiyo yenye gharama nafuu za umeme wa solar na umeme wa Backup kwa majumbani, maofisini na sehemu za kitega uchumi.

Tunakupatia warranty ya kutosha ya mwaka mzima kwa maandishi pia Tunakufanyia service BUREEEE

KWA HUDUMA ZA SOLAR, VIFAA VYA SOLAR NA USHAURI KARIBU OFISINI KWETU KINONDONI VIJANA au WASILIANA NASI 0714373488/0762246488
INSTAGRAM @snlsolarltd
 
Je katika huduma zenu naweza pata solar water heater,
Je tank la 100 litre au 150 litre ni Tsh ngapi
 
Back
Top Bottom