Karibu Dar kamanda Lema

Karibu Dar kamanda Lema

kinudy

Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
25
Reaction score
1
Karibu daslam kamanda lema na timu yako hata sisi tuna mis mambo mengi ya kujifunza kutoka kwako na timu nzima ya uhamasishaji ya chama au tupeni hata ratiba mtakuja lini ili tuwe na subira

m4c peolpeesssssssss......
 
Sidhani kama DAR mko Serious
Labda Ubungo,Kawe na Segerea
 
Akifika wengi watakuwa serious maana hawajawahi msikiliza kwa karibu!
 
Back
Top Bottom