Mimi nitanunua Ford Ranger 🤗Karani katika halmashauri ya Muheza jijini Tanga, Saum Juma amesema ongezeko la mshahara lilotangazwa na Rais Samia Suluhu litawanufaisha kwa vitu vingi ikiwemo kununua viwanja, kujenga nyumba, kusomesha wadogo zao, kuwasaidia baadhi ya ndugu zao matumizi mbalimbali...
I wish asihusike!Hivi ni kweli Zitto anahusika hapo!
Huyu nae ni mnafiki fulani hvi. Chukulia mshahara wa chini ni laki tano, ongezeko la 23.33% need sh. 116500/=. Sasa kiasi hicho, ili uweze kununua Corolla ya mtumba 8,000,000/= itakuchukua miaka zaidi ya saba. Sembuse nyumba! Hata Kama ni mbavu za mbwa sio chini ya miaka 5. Acheni sifa za kinafiki.Karani katika halmashauri ya Muheza jijini Tanga, Saum Juma amesema ongezeko la mshahara lilotangazwa na Rais Samia Suluhu litawanufaisha kwa vitu vingi ikiwemo kununua viwanja, kujenga nyumba, kusomesha wadogo zao, kuwasaidia baadhi ya ndugu zao matumizi mbalimbali...
Jamaa aliulizwa kwny interview Nini maana ya PHD, akasema Ni Pretty Huge Dick.I wish asihusike!
Halima inatakiwa apate HB mmoja hivi kama Hemed PhD! 😀😀😀
Kwanza unaongelea Corolla ipi? Na mtumba unaomaanisha ni used bongo au used from Japan?Huyu nae ni mnafiki fulani hvi. Chukulia mshahara wa chini ni laki tano, ongezeko la 23.33% need sh. 116500/=. Sasa kiasi hicho, ili uweze kununua Corolla ya mtumba 8,000,000/= itakuchukua miaka zaidi ya saba...
Wewe sio mtumishi una ufahamu wowote hiyo pesa unayoizarau anaweza kuikopea na kupata hiyo milioni 8Huyu nae ni mnafiki fulani hvi. Chukulia mshahara wa chini ni laki tano, ongezeko la 23.33% need sh. 116500/=. Sasa kiasi hicho, ili uweze kununua Corolla ya mtumba 8,000,000/= itakuchukua miaka zaidi ya saba. Sembuse nyumba! Hata Kama ni mbavu za mbwa sio chini ya miaka 5. Acheni sifa za kinafiki.
Bro acha unafiki Mungu hapendi hivo. Kama unalipwa say take home yako ni 3,000,000, angalau sawa, hata ukiongezwa 10% ni 300,000.
Lakini kima cha chini ajivunie nin?
Ongezeko lenyewe ni elfu 60 lakini linaimbwa na hapo kuna kodi juu yakeOkay ni Vema na Haki...
Ila wale majority vipi wasio na bima wala kujua kama jioni watakula hawana ndoto za hata kupanga mpanga mwisho wa mwezi let alone kujengea wazazi wao !!!!!
Hao hao sio watanzania ?
Na siongelei waongezewe au kupewa chochote atleast hata wapate ujira wa kuhakikisha wanapata mkate wao wa kila siku kwa kuweza kufanya ajira yoyote...
Hizi asilimia sijui ngapi wala sio cha kujisifia ni kama mtu amepewa wajibu wa kupanga matumizi ya pesa zenu ni kuamua tu ampe nani na aache nani (hio sio ngumu hata kidogo) Ugumu ni kuhakikisha anatengeneza mbinu za kuzalisha hizo pesa ili kuweza kuwapatia wote ili waendelee kuchangia vizuri
Yeye mwenyewe haimtoshi hata kula lakini kwa vile ni pumbafu atasifia na ukute amelazimishwa kusifiaHuyu nae ni mnafiki fulani hvi. Chukulia mshahara wa chini ni laki tano, ongezeko la 23.33% need sh. 116500/=. Sasa kiasi hicho, ili uweze kununua Corolla ya mtumba 8,000,000/= itakuchukua miaka zaidi ya saba. Sembuse nyumba! Hata Kama ni mbavu za mbwa sio chini ya miaka 5. Acheni sifa za kinafiki.
Bro acha unafiki Mungu hapendi hivo. Kama unalipwa say take home yako ni 3,000,000, angalau sawa, hata ukiongezwa 10% ni 300,000.
Lakini kima cha chini ajivunie nin?
Pia hapo kuna kodiHuyu nae ni mnafiki fulani hvi. Chukulia mshahara wa chini ni laki tano, ongezeko la 23.33% need sh. 116500/=. Sasa kiasi hicho, ili uweze kununua Corolla ya mtumba 8,000,000/= itakuchukua miaka zaidi ya saba. Sembuse nyumba! Hata Kama ni mbavu za mbwa sio chini ya miaka 5. Acheni sifa za kinafiki.
Bro acha unafiki Mungu hapendi hivo. Kama unalipwa say take home yako ni 3,000,000, angalau sawa, hata ukiongezwa 10% ni 300,000.
Lakini kima cha chini ajivunie nin?