Karanga 1300 jumla

Karanga 1300 jumla

Unanunua kilo sh ngapi na unapatikana wp pia unahitaji tani ngap
Nipo kilimanjaro kilo nanunua kwa sh 200 mpaka 240
Naitaji tani hata 33 kama zipo ilimradi pumba iwe
Nyeupe
Kavu
Yenye chakula
Na wewe upo wapi na unaweza kutoa tani ngapi na unauza bei gani kwa kg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom