Na mimi nawashauri wanawake wawakubali wanaume nakuwaonesha kuwa wapo katka hali hii
kichwani uwe umesuka twende kilion na usibond ma leswig ama rasta zozote.
Usijchoreshe kama unakazi ya kudumu / maana,, weng wao ck hz wanatafuta wenye kazi tu,.
Usithubuu kujielezea elimu yako jiweke wa kati sana ata kama una masters.