johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,959
- 141,951
Imeripotiwa kuwa Huduma ya Living Water imepora ardhi ya mama mjane huko Mwanza na kumdhibiti asiweze kufuatilia haki zake. Hata hivyo majirani wamesema ardhi hiyo ni ya mama huyo mjane na kwamba Living Water wamevamia na hivyo wamemwomba mkuu wa mkoa asaidie " nadhani" kama afanyavyo RC Makonda. Source ITV habari!