Kaniboa sana, ushauri tafadhali

hili ndo tatizo la kuendekeza ngono
na kufanya ngono ndo kila kitu
hata mengine huwazi
 
Me naomba nikuulize mkuu huyo ni mchumba kweli au mdada tu ulikutana nae hapo stand ukaanza kuimbisha mpaka nauli kumlipia?
 
Unaumli gani ww?? unasumbua watu, ndio nn sasa,
 
Ahaaa kwaiyo ulitaka kum-mbato kwenye Gari?
 
Mlipanga nini sasa kwenye bus we mpuuzi nini? Amekukorifisha kipi amekataa kipi ulichotaka akifanye fara kweli msiletage upuuzi humu si ongea nae sasa
 
wamakonde..mna nini nyie watu???
 
Basi mwenyew ukawa unajiona mjanja upo na Bebi na kasuluari kako ka kuchanika chanika magotini
 
Hakuna hoja ya msingi...lazima ujue, wengine hata kutapika wangetapika.Inategemea na maumbile ya mtu.
Labda kama unatafuta hoja ya kumtemesha tu.
 
iko ki
toto saana mi nashindwa kukomenti chochote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…