USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 11,718
- 27,816
Kitendo cha kumuweka ndani Mchungaji Willbord William kwa wiki sasa bila kumhoji ,kumfungulia mashtaka ni kinyume na maagizo yako hivyo ni dharau si tu kwako hata kwa mh rais anayejitaja kuwa ni rais wa wanyonge.
mchungaji, wallboard wa kanisa la GSM Rusziba amekatwa tangu wiki uliyopita na kutakiwa alipe pesa kiasi cha laki nane ndio atolewe bila kuambiwa hata kosa lake nini hii nikwa mujibu wa baba yake mzazi aliyekataliwa hata kumuona ila tu pale atakapolipa pesa.
mh.jaribu kukupitia kwa ukaribu kituokikuu cha polisi wilayani biharamulo kwa kuna idadi kubwa ya washtakiwa ambaoa hata kwenye records hawapo
mchungaji, wallboard wa kanisa la GSM Rusziba amekatwa tangu wiki uliyopita na kutakiwa alipe pesa kiasi cha laki nane ndio atolewe bila kuambiwa hata kosa lake nini hii nikwa mujibu wa baba yake mzazi aliyekataliwa hata kumuona ila tu pale atakapolipa pesa.
mh.jaribu kukupitia kwa ukaribu kituokikuu cha polisi wilayani biharamulo kwa kuna idadi kubwa ya washtakiwa ambaoa hata kwenye records hawapo
