ndugaseli JF-Expert Member May 17, 2017 869 2,405 Nov 3, 2017 #3 Manyawera said: View attachment 623628 Click to expand... hyo khanga inatakiwa ifungiwe mana ni hatar kwa ustaw wa jamii
Manyawera said: View attachment 623628 Click to expand... hyo khanga inatakiwa ifungiwe mana ni hatar kwa ustaw wa jamii
P Percival JF-Expert Member Mar 23, 2010 3,357 2,134 Nov 3, 2017 #9 Haya ni dalili ya udhaifu wa jamii katika maadili na heshima. Kitu kama hiki kinaonekana ni kawaida tu. Fikiria unatembea na na watoto wako au mzazi wako na wote manaona mandishi kama haya !!
Haya ni dalili ya udhaifu wa jamii katika maadili na heshima. Kitu kama hiki kinaonekana ni kawaida tu. Fikiria unatembea na na watoto wako au mzazi wako na wote manaona mandishi kama haya !!
M mangatara JF-Expert Member Jul 6, 2012 14,517 14,135 Nov 3, 2017 #10 Kama wamefikia mahali pa kuvua nguo zote wakaweka begani ati ni msisimko wa ngoma mtaani mchana peupe wadhani wataogopa kuivaa?? Weka sokoni uone
Kama wamefikia mahali pa kuvua nguo zote wakaweka begani ati ni msisimko wa ngoma mtaani mchana peupe wadhani wataogopa kuivaa?? Weka sokoni uone
kelao JF-Expert Member Sep 24, 2012 8,132 5,785 Nov 4, 2017 #16 Mwakyembe yuko wapi? au yeye na magazeti tu!
Naisujaki Lekangai JF-Expert Member Aug 19, 2012 1,340 1,377 Nov 4, 2017 #17 Manyawera said: View attachment 623628 Click to expand... UUwiii! Inavaliwa hadharani hii?Thubutu,Naapa hakuna wa kujitandika kanga hii.
Manyawera said: View attachment 623628 Click to expand... UUwiii! Inavaliwa hadharani hii?Thubutu,Naapa hakuna wa kujitandika kanga hii.
sinafungu JF-Expert Member Feb 13, 2010 1,524 863 Nov 4, 2017 #20 Manyawera said: View attachment 623628 Click to expand... editting si kweli kuna kanga imeandikwa hivyo.
Manyawera said: View attachment 623628 Click to expand... editting si kweli kuna kanga imeandikwa hivyo.