Wana JF nafikiria kuanzisha kampuni ya usafirishaji wa mizigo. Natarajia kupata mshiko wa kutosha kununua malori used semi trailers 3 au 4, je hili ni wazo zuri? natamani kufanya hii shughuli inanivutia sana lakini sina uzoefu nayo na sijui kama inalipa au vipi, naomba mwenye mwanga aniangazie kidogo bila dhihaka tafadhali.