EmmanuelDankeni
Member
- Aug 15, 2014
- 35
- 7
Kampuni ya mawsiliano ya Tigo imekuwa ni kampuni sumbufu sana kwa watja wake(sisi) ni zaidi ya wiki tatu mpaka nne sasa tigo inasumbua sana katika mawasiliano na nk.Je uongozi wa tigo mnalifahamu hili?,na mnampango gani wateja wenu tunasumbuka sana cha kushangaza mko kimya hakuna taarifa yoyote kutoka kwenu ni nini ushauri wenu kwetu?, ndio nitafsili kwamba mumezidiwa?au