Kampuni ya simu ya Tigo punguzeni wizi

Kampuni ya simu ya Tigo punguzeni wizi

Zikambona255

Member
Joined
Dec 24, 2019
Posts
7
Reaction score
4
Hii imekuwa too much. Mtu unajiunga GB 1 halafu baadae wanakwambia zimebaki MB 600 au MB 300 za Facebook. Mimi nimejiunga za mambo yangu kwanini mniwekee za Facebook kweny GB 1 yangu?

IMG_4236.PNG
 
Hii imekua too much mtu unajiunga GB 1 alf baadae wanakwambia zimebaki mb 600 au mb 300 za Facebook mm nimejiungab za mambo yangu kwann mniwekee za Facebook kweny GB 1 yangu

Wewe bado uko huko ukilalamika ? Chukua hatua mwaka 2019 walipoteza wateja laki tano na ushee kwa majibu wa TCRA report. Kwa kampuni za simu kupoteza wateja kiasi hicho sio kitu kidogo
 
Wewe bado uko huko ukilalamika ? Chukua hatua mwaka 2019 walipoteza wateja laki tano na ushee kwa majibu wa TCRA report. Kwa kampuni za simu kupoteza wateja kiasi hicho sio kitu kidogo
Na waliowaptoeza ni airtel walikuja na offa bambam
 
Back
Top Bottom