Kampuni ya kukopesha inauzwa, Microcredit

Kampuni ya kukopesha inauzwa, Microcredit

Tractor

Member
Joined
May 23, 2019
Posts
94
Reaction score
139
Wakuu habari
Kampuni ya microcredit inauzwa baada ya kushindwa kujiendesha. IPO vizuri IPO DSM na ilishafanyiwa annual return.
Karibuni. Documents zote zipo.

Ushirikiano upo wa kukamilisha umiliki.
 
Ambaye yupo siriasi aje PM
Wakuu habari
Kampuni ya microcredit inauzwa baada ya kushindwa kujiendesha. IPO vizuri IPO DSM na ilishafanyiwa annual return.
Karibuni. Documents zote ,zipo.
Ushirikiano upo wa kukamilisha umiliki.
 
Mmmmmh pamoto hapo nilikua sijui Kama kampuni ya pesa inaweza kuuzwa...Ina maana inauzwa ikiwa na zero zero zimepangana au unaikuta na fedha zake....Sasa kwa mfano Ina akiba ya billion 10 wewe utainunua kwa shingapi?Kama utainunua kwa Zaidi ya billion kumi SI bora ufungue ya kwako mpya???anyway tusubiri maoni ya Wengine
 
Wakuu habari
Kampuni ya microcredit inauzwa baada ya kushindwa kujiendesha. IPO vizuri IPO DSM na ilishafanyiwa annual return.
Karibuni. Documents zote zipo.

Ushirikiano upo wa kukamilisha umiliki.
Annual Return
 
Mmmmmh pamoto hapo nilikua sijui Kama kampuni ya pesa inaweza kuuzwa...Ina maana inauzwa ikiwa na zero zero zimepangana au unaikuta na fedha zake....Sasa kwa mfano Ina akiba ya billion 10 wewe utainunua kwa shingapi?Kama utainunua kwa Zaidi ya billion kumi SI bora ufungue ya kwako mpya???anyway tusubiri maoni ya Wengine
Dah mkuu umeuliza kiufundi sana. Akikujibu naomba unitag@ndege JOHN
 
Kama ni Bayport niko tayari kuinunua kudadeki! Weka tu bei mezani ili nijipige pige.
 
Wakuu habari
Kampuni ya microcredit inauzwa baada ya kushindwa kujiendesha. IPO vizuri IPO DSM na ilishafanyiwa annual return.
Karibuni. Documents zote zipo.

Ushirikiano upo wa kukamilisha umiliki.
Yaani imeshindwa Kujiendesha halafu unasema iko vizuri??
Au sijakuelewa??
 
Mmmmmh pamoto hapo nilikua sijui Kama kampuni ya pesa inaweza kuuzwa...Ina maana inauzwa ikiwa na zero zero zimepangana au unaikuta na fedha zake....Sasa kwa mfano Ina akiba ya billion 10 wewe utainunua kwa shingapi?Kama utainunua kwa Zaidi ya billion kumi SI bora ufungue ya kwako mpya???anyway tusubiri maoni ya Wengine
Kwani benki huwa haiuzwi??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom