Najua utakuwa waleeee wa DAR
Unajua Sheria?hongera sana kama ndio mmefundishwa na umefundishwa hivyo.Acha kutia aibu wa DAr
Hayo maisha yenu ya kubahatisha hayo ndio ikitokea changes ya kukaza sheria mnaona maisha Magum
Kwa taarifa yako tu,namiliki magari sio gari(Dar ya Biashara,Zanzibar kwenye Utalii).Nakuambia ninachokijua kuhusu biashara ya magari.
Zanzibar heshima ni mwenye Vespa na Sio Gari.Huku kwetu rahisi tu kununua gari
Lakini ukweli ndio huo,kwamba mfumo wa biashara hiyo sio halali mpaka Gari zibadilishwe matumizi kuwa ya biashara.
Acheni kubahatisha maisha mjini,wakati sio