N ngwendu JF-Expert Member Joined Jun 7, 2010 Posts 1,964 Reaction score 175 Sep 10, 2010 #21 hawachelewi kuja na kusema kuwa hao ni waongo, kama walivyosema kwa wale waliokuwa wanachadema watiifu kule Mbeya kuwa hawakuwa wanachama. nyinyi subirini tu watakuja muda si mrefu kuja kukanusha. Aibu! nasubiri november 1 watakavyoadhirika.
hawachelewi kuja na kusema kuwa hao ni waongo, kama walivyosema kwa wale waliokuwa wanachadema watiifu kule Mbeya kuwa hawakuwa wanachama. nyinyi subirini tu watakuja muda si mrefu kuja kukanusha. Aibu! nasubiri november 1 watakavyoadhirika.