View attachment 97712Wakati tunamsubiria Kamanda wa anga, muda huu Kamanda Lema anawashukuru wana wa Arusha kwa kujitoa na kywadhihirishia Ccm kwamba A town hakuna Ccm
Mita chache kutoka ulipo mkutano huu wapo ccm na mkutano kama kikao cha ukoo.
Anasema amepita mbeya na lushoto ila hajaona umati kama huu.amewaacha kina sugu na msigwa waendelee mbeya na jana alikuwa lushoto hakuna kata hata moja ni ya chadema ila kesho wagosi wamesema kutakuwa na kata mbili
View attachment 97712Wakati tunamsubiria Kamanda wa anga, muda huu Kamanda Lema anawashukuru wana wa Arusha kwa kujitoa na kywadhihirishia Ccm kwamba A town hakuna Ccm
Mita chache kutoka ulipo mkutano huu wapo ccm na mkutano kama kikao cha ukoo.
Namshukuru Mungu kwa ajili ya watazania wapenda amani ndiyo maana wanaendelea kuonesha mapenzi yao kwa chama cha mapinduzi (CCM). Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki CCM, Viva CCM.