These pictures made me cry, I am so moved angalia wananchi na taa zao mkononi kumulika mwanga wa matumaini. Dar zioneni picha hizo toa pembezoni mwa nchi hii, waungeni mkono. I nahuzunisha sana kuona Dar kwenye kila taarifa tunakosa wabunge wa upinzani na tunaenda kupata pembezoni kabisa, mpanda, kigoma, karatu
people let us work up, kuchagua upinzania siyo jinai
Mkuu Dopas,
kwa sababu hiyo, mimi hiyo blogu ya michuzi wala siifungui siku hizi, nimemshtikia anataka kutufanya wote ni malofa..
Actually, nime-delete toka kwenye favourites. To hell, kama kuna nyuuzi tutazipata tuu toka vyanzo vingine vingi ambapo ni wakweli!
Kusema ukweli machozi yamenitoka kwa jinsi picha zilivyo nigusa hii inaonyesha ni jinsi gani wananchi wamechoshwa na ukoloni wa ccm!
Kwanini nasema UKOLONI WA CCM??? Tulitawaliwa na wakoloni walitumyonya wakatunyanyasa na kutudhalilisha sasa tunawakoloni wa ndani ambao ni watanzania wenzetu wasio na huruma wala kujali maendeleo ya nchi yetu, wanajinufaisha wao wenyewe na familia zao hawajali kuwa rasilimali wazitumiazo ni mali ya taifa, wameuza madini yetu kwa manufaa yao rasilimali za nchi zimepotea kwa maslai yao binafsi, wanauwa tembo wanasafirisha meno yao kwa maslai yao wenyewe sasa watu wa kundi hili tuwaiteje kama sio WAKOLONI WA NDANI AMA WAKOLONI WA CCM!
Kiongozi wa nchi anatunyonya akatumaliza akaulizwa kwanini Nchi yako ni MASKINI wakati ina kila aina ya UTAJIRI bila ya AIBU WALA HAYA TENA KWA KUJIAMINI AKATUKANA MBELE YA ULIMWENGU KUWA HUJI NI KWASABABU GANI SIE WATANZANIANA NI MASKINI HUKU AKIJUA WAZI KUWA WAO NDIO WANAZIDI KUDIDIMIZA TAIFA LETU.
31-10-2010 tuamke alfajiri na mapema kwenda kupiga kura hata kama nitashinda kutwa nzima kwenye foleni nitahakikisha kura yangu naitowa kwa CHADEMA ili kuungoa huu UKOLONI wa CCM