To what past are you refering to?Past always configures the future!! Nadhani you have to think twice!
To what past are you refering to?
Naomba mwenye ufahamu na hiki chuo, mazingira, gharama za maisha,hostel na hadhi ya elimu inayotolewa kwa sasa anijuze...pia kama ukiwa na picha ya mazingira yake mnaweza kuweka...
Umechaguliwa kozi gani mkuu ??Naomba mwenye ufahamu na hiki chuo, mazingira, gharama za maisha,hostel na hadhi ya elimu inayotolewa kwa sasa anijuze...pia kama ukiwa na picha ya mazingira yake mnaweza kuweka...
Bachelor of pharmacyUmechaguliwa kozi gani mkuu ??
Nakumbuka walisimamishwa kutoa masomo ya fani ya udaktari na uuguzi.Bachelor of pharmacy
Bachelor of pharmacy
Sio kweli KIU haijafungiwa , na pia haijawahi kutoa kozi ya uuguzi .. Hivyo kama hujui kitu ni bora kunyamaza kuliko kuandika usichokijuaNakumbuka walisimamishwa kutoa masomo ya fani ya udaktari na uuguzi.
Anyway kila la kheri mkuu
Unajua kwanini udom imefungiwa ?? Kama ulikua hujui ni bodi ya ukaguzi Africa mashariki ndio walipita wakakagua vyuo vyote vya afya ,na kutoa mapendekeze vyuo vilivyokuwa na mapungufu makubwa vifungwe , TCU hawakukurupuka tu kijanaKwanini walikifungia UDOM kwa kozi ya Doctor of Medicine wakakiachahki chuo cha Kampala kwa Kozi za Afya.
Ninani Mmiliki wa hiki chuo.?
Daaah kweli Tanzagiza ni nchi ambayo kamwe rushwa haitaisha.
Umeangea vizuri sana mkuu ,ila kwa KIU ada ya pharmacy ni Tsh 3,800,000 na bodi ya mikopo wanatoa 3,100,000 hivyo pharmacy wanaongezea 700,000 mwaka mzima .. Sawa sawa na medical laboratory ,....kozi yenye ada kubwa Kampala ni medicine ambayo ni 6,700,000 na bodi inatoa 3,100,000 peke hivyo inabidi kuongeza 3,600,000 kwa mwaka...Kama Unataka Kujua Kwanini Van Dame Alisema "No Retreat No Surrender"! Basi Sikiliza Maneno Ya Wapayukaji na Usiende Hapo Chuoni Usubiri Uombe Mwakani Uone!!!
KIU ni Chuo Kizuri Chege Full Registration tofauti Na Wajinga Wanavyokitangaza Vibaya. Mimi Ninachokijua Hapo KIU ila Yake ni Kuhusu Ada tu Kwani Ada Zake Zipo Juu Sana!!
Kwa Bachelor Of Pharmacy itakubidi Uongezee Na 2.2M kila Mwaka!
Kwasababu Ada ni 3.8M, na Mkopo Serikali inakupa 1.6M, Zilizobakia Unaongezea Mwenyewe.